Teknolojia na Huduma Zinazojengwa Juu ya Uaminifu.

Tunatumia teknolojia kurahisisha huduma na shughuli za kila siku kwa watu, biashara na jamii Tanzania.

Mtera, Dodoma · Tunahudumia Tanzania

Tunakusaidia Kufanya Mambo Kwa Urahisi

Kutoka kwenye huduma za serikali na elimu hadi mifumo ya teknolojia na huduma za biashara, FETCO inakuunganisha na huduma unazohitaji kwa urahisi na weledi.

01

Huduma za Serikali

NIDA, TIN, RITA, pasipoti, leseni za biashara na huduma nyingine.

02

Elimu na Ajira

HESLB, udahili wa vyuo, Ajira Portal, AVN na huduma nyingine.

03

Teknolojia

Mifumo ya matokeo, ratiba za masomo, huduma za kompyuta na teknolojia.

04

Vitambulisho na Nyaraka

Utengenezaji wa vitambulisho, vyeti vya tuzo na huduma nyingine za nyaraka.

05

Huduma za Internet

Vifurushi vya internet kwa SME kutoka Vodacom, Airtel, Yas na Halotel.

06

Bidhaa

Uuzaji wa calculator original na bidhaa nyingine zitakazoongezwa.

Uaminifu Kabla ya Faida.

Trust Over Gain ndiyo msingi wa namna tunavyofanya kazi.

Uaminifu

Tunathamini uaminifu katika kila huduma tunayotoa na kila mteja tunayemhudumia.

Weledi

Tunajitahidi kutoa huduma kwa usahihi, uwajibikaji na kiwango cha kitaalamu.

Urahisi

Tunatumia teknolojia kufanya huduma ziwe rahisi kufikiwa na kueleweka.

FETCO ni Nini?

FETCO Tanzania ni kampuni inayolenga kuunganisha teknolojia na huduma mbalimbali ili kurahisisha maisha ya watu na biashara.

Kampuni ilianzishwa na Fedrick Elia Tlatlaa na Consolata Erasto, ikiwa na msingi wa uaminifu, huduma bora na matumizi ya teknolojia.

Maono Yetu

Kuwa kituo kikuu cha muunganiko wa teknolojia nchini Tanzania, tukitumia mifumo ya kidijitali kurahisisha maisha ya wananchi.

Teknolojia Inayounganisha Maisha ya Kila Siku

Maono yetu ni kutumia teknolojia kuunganisha huduma na mahitaji ya watu katika sekta mbalimbali.

Elimu Serikali Biashara Mawasiliano Jamii

Tunaanzia Tulipo. Tunajenga Tunakokwenda.

FETCO inakua hatua kwa hatua kuelekea mfumo mpana wa teknolojia, huduma na biashara.

FETCO ya Leo

Kwa sasa, huduma zetu nyingi zinafanyika chini ya jina la biashara la FETCO Digital Services, tukitoa huduma za kidijitali, nyaraka, elimu, teknolojia na huduma nyingine.

FETCO ya Kesho

Tunaelekea kujenga mfumo wa ventures mbalimbali katika teknolojia, elimu, internet, biashara, real estate, agriculture na sekta nyingine.

Wasiliana Nasi

Una swali au unahitaji huduma? Tupo tayari kukusaidia.

Mahali Mtera, Dodoma, Tanzania
Simu 0683 136 329
Barua pepe tzfetco@gmail.com

Unahitaji Huduma?

Wasiliana nasi moja kwa moja kupitia WhatsApp kwa maelezo kuhusu huduma unayohitaji.

Tuma WhatsApp